Kitabu maarufu cha Adolf Hitler kwa jina Mein Kampf kitachapishwa tena kikiwa na maelezo zaidi ya wasomi mwezi ujao, ikiwa ni mara ya kwanza kitabu hicho kuchapishwa tangu kumalizika kwa Vita ...
Kwa kutumia Michoro migumu iliyo kwenye kitabu hicho iliyochorwa kwa mikono -Dkt Mackinnon, kutoka Chuo Kikuu cha Washington mjini St Louis, aliweza kukamilisha upasauaji wa mwili wa binadamu.