Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kimeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwa Programu ya Mwanamke Kiongozi (Female Future Program) sambamba na mahafali ya wahitimu wa awamu ya kumi ya programu hiyo.
Baada ya miezi kadhaa ya mapigano, waasi wa M23 sasa wanaudhibiti mji mkuu wa Goma, mji unaokaliwa na zaidi ya watu milioni mbili, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Wakati M23 walipowasili ...
Programu ya akili mnemba iliyotengenezwa nchini China inayoitwa DeepSeek, imepakuliwa na watumiaji wengi kwenye Apple Store. Programu hiyo ilitolewa tarehe 20 Januari 2025, na kuwavutia wataalamu ...
Amerika ya Kusini imekuwa uwanja wa vita kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na China, chini ya shinikizo kutoka Washington kuchagua kambi yake. Utawala wa Trump hadi sasa unatumia vitisho na ...
Hamas imetangaza siku ya Jumanne, Februari 18, kwamba mateka sita wa Israeli walioshikiliwa katika Ukanda wa Gaza wataachiliwa huru siku ya Jumamosi, Februari 22. Kabla ya hapo, siku ya Alhamisi ...
ILIKUWA bab'kubwa. Ndivyo ilivyokuwa katika sherehe ya kupongezwa kwa maharusi, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI na mwanamitindo, Hamisa Mobetto iliyofanyika juzi usiku, jijini Dar es ...
JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe, limefanikiwa kumkamata mwanamume raia wa nchi jirani ya Malawi, kwa tuhuma za kupatikana na nyara za serikali, ambazo ni meno ya tembo ya zaidi ya Sh. milioni 155.
Dar es Salaam. Kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X inayomkabili mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Willibrod Slaa (76) itatajwa leo Jumatano, Februari 19, 2025 katika Mahakama ya Hakimu ...
Unguja. Wakati Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetimiza miaka 20, imeendelea kuonyesha mafanikio katika sekta ya elimu ya juu nchini, ikikusanya fedha kwa kiwango kikubwa ili kusaidia ...
KATIKA kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan, Serikali imeongeza ufadhili, kuboresha miundombinu ya kisasa na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa, hatua ambazo zimeleta ...
SERIKALI ya Uganda imetangaza kuiondoa kesi dhidi ya mpinzani, Kizza Besigye kutoka mahakama ya kijeshi na kuihamisha kesi hiyo kwenye mahakama ya kiraia. Hatua hiyo imetokana na maamuzi kutoka ...
NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Abdallah Shaibu 'Ninja' amesema mapigano yanayoendelea Goma, DRC Congo yamesitisha mazungumzo na kati yake na klabu ya Tanganyika FC. Kwa takriban mwezi sasa katika Mji ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果