
Afya ya Kimwili - JW.ORG
Jifunze jinsi ya kudumisha afya nzuri na jinsi ya kukabiliana na ugonjwa. Hata iwe unakabiliana na hali gani kwa sasa, Biblia ina ushauri mzuri ambao unaweza kukusaidia kuhisi vizuri kadiri iwezekanavyo. Nifanye Nini Ikiwa Nina Tatizo la Afya? (Sehemu ya 1)
Afya — Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO - Watchtower …
Biblia inafundisha kwamba tukijipatanisha na Mungu kwa kutii kanuni zake zenye hekima, hatimaye tutafurahia afya kamilifu katika paradiso duniani. ( Isaya 33:24 ) Mungu anaahidi kwamba ataondoa maumivu, magonjwa, na kifo.—
Afya ya Kimwili na Kiakili—Makala Zenye Maandiko ya Biblia - JW.ORG
Vijana wanne wanaeleza kinachowasaidia kukabiliana na matatizo yao ya afya na kudumisha mtazamo unaofaa. Nifanye Nini Ikiwa Nina Tatizo la Afya?—Sehemu ya 2 Soma masimulizi ya vijana ambao wamejifunza kukabiliana na matatizo makubwa ya afya huku wakiendelea kuwa na mtazamo unaofaa.
Afya ya Kimwili na ya Akili - JW.ORG
Unaweza kushangaa kujua kama mwongozo wenye Biblia inatoa unaweza kukusaidia ukuwe na afya ya muzuri ya kimwili, ya akili, na ya moyo. Ona video zinazopatikana JW.ORG
Afya — Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO - Watchtower …
Hii ni Tovuti rasmi ya Mashahidi wa Yehova. Imetayarishwa kwa ajili ya wale wanaotaka kufanya utafiti katika machapisho ya Mashahidi wa Yehova, katika lugha mbalimbali.
Fanya Fundisho Lenye Afya Liwe Njia Yako ya Maisha
Kwa kweli, kufanya fundisho lenye afya liwe njia yetu ya maisha hututenganisha na ulimwengu mfisadi unaokufa tukiwa watu waliosafishwa. Maneno ya Paulo yalingana na makumbusha ya Musa kwa wana wa Israeli kwenye Sinai: “Naye BWANA, . . . atakutukuza juu ya mataifa yote aliyoyafanya, kwa sifa, na jina, na heshima, nawe upate kuwa taifa takatifu ...
Biblia Inasema Nini Kuhusu Kukabiliana na Tatizo la Afya - JW.ORG
Ingawa Biblia si kitabu cha afya, kina kanuni zinazofaa zinazoweza kukusaidia kuvumilia tatizo lako kwa njia bora kadiri uwezavyo. Biblia inasema nini: “Watu wenye afya hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji.”— Mathayo 9:12. Matumizi: Tafuta msaada wa wataalamu wa afya ikiwa inahitajika.
Afya ya Mwili na Akili — Watchtower MAKTABA KWENYE …
Ona Afya ya Mwili na Akili Maisha Yanayochangia Afya Nzuri Usingizi. Maumivu ya Kichwa. Kipandauso—Kitulizo Ni Nini? Amkeni!, 1/2011. Mbilikimo. Miili Midogo, Mioyo Mikubwa Mnara wa Mlinzi, 2/15/2000. Mchochota wa Ini. ... JW.ORG; Ingia; Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe ...
4 | Biblia Inatoa Ushauri Unaofaa - JW.ORG
Ingawa Biblia si kitabu cha matibabu, inatoa ushauri unaofaa na unaotunufaisha. Ushauri huo unaweza kumsaidia mtu anayesumbuliwa na matatizo ya afya ya akili. Fikiria mifano ifuatayo. Hilo Linaweza Kutusaidiaje? “Watu wenye afya hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji.” —MATHAYO 9:12.
Afya Ni Nini? — Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Afya njema yahusisha njia ya maisha yenye usawaziko ambayo hutokeza halinjema yetu ya kimwili, kiakili, kihemko, na kijamii, ikituwezesha tukabiliane na mazingira yetu na kupata shangwe na uradhi wa kiasi kutokana na utendaji wetu wa kila siku.